Kiswahili

hariri

Nomino

hariri

bondia

  1. Mtu anayeshiriki katika mchezo wa masumbwi; mpiganaji wa ngumi.
    • Bondia huyo alishinda pambano kwa nokaute katika raundi ya pili.
  2. Umoja: bondia
  3. Wingi: mabondia
  4. Tafsiri: Kiingereza: boxer