Kiswahili

hariri

nomino

hariri

kiwi (wingi viwi)

  1. giza la machoni kinalofanywa na kitu kinachong'aa sana
  2. tabia mbaya ya uroho
  3. tunda kutoka mmea wa mkiwi.
  4. wino mweusi anaotoa ngisi ili kujikinga asionekane na maadui zake