discrimination
Kiingereza
haririNomino
hariri- kitendo cha kubagua au kutendea watu kwa njia isiyo ya haki kulingana na sifa fulani (mfano: rangi, jinsia, dini)
- utofoautishaji wa makini kati ya vitu viwili au zaidi
Tafsiri
hariri- Kiswahili:ubaguzi,utofoautishaji
- Kifaransa:discrimination