Kikamba
Kiswahili
haririNomino
hariri(wingi: vikamba)
- Lugha ya Kibantu inayozungumzwa na watu wa kabila la Wakamba wanaoishi hasa katika maeneo ya Mashariki mwa nchi ya Kenya.
- Mtindo, asili, au utamaduni wa watu wa jamii ya Wakamba.
Etimolojia
haririNeno linatokana na mzizi wa neno "-kamba" (jina la kabila) likiambatishwa na kiambishi awali cha lugha "Ki-".
