Autonomo (Italia, karne ya 3 - Bitinia, leo nchini Uturuki, 313) alikuwa Mkristo mmisionari aliyefanya utume mkubwa katika Asia Ndogo kama askofu wa kwanza wa Claudiopolis akauawa kwa sababu ya imani yake katika dhuluma ya Dola la Roma[1].

Picha takatifu ya Mt. Autonomo.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Septemba[2].

Tazama pia

hariri

Tanbihi

hariri

Marejeo

hariri
  • Clive Foss, "St. Autonomus and His Church in Bithynia," Dumbarton Oaks Papers, Vol. 41, Studies on Art and Archeology in Honor of Ernst Kitzinger on His Seventy-Fifth Birthday (1987), pp. 187–198.

Viungo vya nje

hariri
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.