Ailbe
Ailbe (pia: Albeus, Alibeus, Elvis, Eilfyw, Eilfw[1]; alifariki 528 hivi) alikuwa askofu katika nchi ya Ireland[2][3] ambaye, akisafiri huku na huku alihubiri Injili na kuvuta wakazi wengi wa kisiwa hicho kwenye Ukristo kwa wema wake [4].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[5].
Sikukuu yake ni tarehe 12 Septemba[6].
Tazama pia
hariri- Watakatifu wa Agano la Kale
- Orodha ya Watakatifu Wakristo
- Orodha ya Watakatifu wa Afrika
- Orodha ya Watakatifu Mabradha wa Shule za Kikristo
- Orodha ya Watakatifu Waaugustino
- Orodha ya Watakatifu Wabazili
- Orodha ya Watakatifu Wabenedikto
- Orodha ya Watakatifu Wadominiko
- Orodha ya Watakatifu Wafransisko
- Orodha ya Watakatifu Wajesuiti
- Orodha ya Watakatifu Wakarmeli
- Orodha ya Watakatifu Wakolumbani
- Orodha ya Watakatifu Wamersedari
- Orodha ya Watakatifu Waoratori
- Orodha ya Watakatifu Wapasionisti
- Orodha ya Watakatifu Wapremontree
- Orodha ya Watakatifu Waredentori
- Orodha ya Watakatifu Wasalesiani
- Orodha ya Watakatifu Waskolopi
- Orodha ya Watakatifu Wateatini
- Orodha ya Watakatifu Watrinitari
- Orodha ya Watakatifu Watumishi wa Maria
- Orodha ya Watakatifu Wavinsenti
Tanbihi
hariri- ↑ Plummer, Charles (1968) [1910]. Vitae Sanctorum Hiberniae [Lives of the Saints of Ireland] (tol. la 2nd). Oxford: Clarendon. uk. 46 ff., vol. 1.
- ↑ Thurston, Herbert (1907). "St. Ailbe". The Catholic Encyclopedia. New York City: Robert Appleton Company (print); New Advent (web). Iliwekwa mnamo 25 Agosti 2008.
{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link) - ↑ Smith, William; Wace, Henry (1880). A Dictionary of Christian Biography. London: John Murray. uk. 82.
- ↑ http://www.santiebeati.it/dettaglio/70010
- ↑ "History", Emly Parish.
- ↑ Martyrologium Romanum: ex Decreto Sacrosancti oecumenici Concilii Vaticani II instauratum auctoritate Ioannis Pauli P.P. II promulgatum, Romae 2001, ISBN 8820972107
Marejeo
hariri- de Paor, Liam (trans.) (1993). Saint Patrick's World: The Christian Culture of Ireland's Apostolic Age. Dublin: Four Courts Press.
- Gougaud, Louis (1932). Christianity in Celtic Lands.
- Ó Riain, Pádraig (ed. and trans.) (2017). Beatha Ailbhe: The Life of Saint Ailbhe of Cashel and Emly. London: Irish Texts Society.
| Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |